WELCOME TO THE REPUTABLE BLOG IN TOWN WITH FANTASTIC NEWS,GOSSIP,TALENTS,FASHION,MOVIE STAY ON THIS WEBSITE
RSS

MATUKIO YA KUTISHA MWAKA 2012

moja ya maeneo jangwani
Mafuriko dar na kusababisha watu kukosa makazi maeneo ya Jangwani hadi maeneo ya kigogo Dar es Salaam
Milipuko ya mabomu yaliotokea mbagala na hatimaye gongolamboto hivyo hatuta sahau kamwe swala hili jamani ndugu zetu walipoteza makazi na wengine kupotezana kwa milipuko iliotokea katika kambi ya jeshi gongo lamboto
Walimu wa msingi waligoma kwa kudai huenda ni haki yao kudai kwa kudai vitu kuwa juu na kusababisha ndugu zetu watoto wetu kukosa masomo kwa siku husika
Mgomo mkubwa ulioleta athari nyingi kwa wagonjwa na kufanya matibabu kusimama kwa tuhuma juu ya mishahala na posho za madaktari muhimbili wagonjwa walipata tabu sana kulingana na mgomo huo
Hatuta sahau mwaka 2012 vurugu za kariakoo zilizosababishwa na vikunndi vinavyosemekana kuwa ni vya kidini vilivyosababisha hadi jeshi la wananchi kuingilia kati na vikundi vya kutuliza ghasia kuingilia ili kuweka amani maeneo ya kariakoo wengi waliumia na kupata ulemavu
vifo vingi vilivyotokea mwaka 2012 zanzibar kwa kuzamakwa meli na kusababisha watu wengi kupoteza maisha
Hatuta sahau vifo vya wasaniii vilivyotokea mwaka huu ikiwemo Steven Charles Kanumba , Hussein Ramadhani Nkieti , Mlopelo na wengineo taifa litawakumbuka kwa yale mlioyafanya mungu amilaze mahala pemapeponi amini
Hatutasahau vurugu zilizotokea Zanzibar zilizosababishwa na kundi la muamsho na kusababisha mali za watu kupotea na wengine kupoteza maisha  Mungu atulinde atupe amani Mwaka 2013


  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 maoni: