WELCOME TO THE REPUTABLE BLOG IN TOWN WITH FANTASTIC NEWS,GOSSIP,TALENTS,FASHION,MOVIE STAY ON THIS WEBSITE
RSS

TUTAKUKUMBUKA SHAROMILIONEA

Daima tutakukumbuka Broo kwa ubunifu wako mzuri tulikupenda lakini mungu ameklupenda zaidi pumzika kwa amani Sharomilionea  kilichobaki watanzania inatubidi tumrudie mungu kwani atujui lini itakuwa hatima ya maisha yetu sisi tunapanga hivi mungu nae anapanga vyake hatuna budi kumtukua kwa kila jambao ambalo llinatokea kwa kupitia kwake Ni wakati sasa wasanii kwa ujumla kuliangalia hili kwa umakini tukirudisha fikra zetu nyuma wangapi wamepita na walikuwa na umaarufu gani jee mimi na wewe tumejipanga vipi juu ya hiyo safari ambayo hatuijui muda , siku wala saa jamani tuliangalie hili kwa umakini na kiukweli kwa mwaka huu tumepata mapigo makubwa sana katika tasnia ya sanaa nchini hatutakaa tuhusahau mwaka huu kamwe jamni wasanii inabidi wawe na umoja katika kushiriki msiba huu bila kujali chochote

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 maoni: