WELCOME TO THE REPUTABLE BLOG IN TOWN WITH FANTASTIC NEWS,GOSSIP,TALENTS,FASHION,MOVIE STAY ON THIS WEBSITE
RSS

MZEE MAJUTO RAFIKI WA KARIBU SANA NA MAREHEMU SHARO MILIONEA AKIELEKEA MAKABURINI

Mzee Majuto akiwa ameshikwa mkono wakielekea mazishini kuupumzisha mwili wa marehemu Sharo milionea mazishi yalifanyika nyum,bani kwao Mkoani Tanga katika kijiji cha Lusanga wilayani Muheza mazushi hayo yalihudhuriwa na watu wa aina tofauti tofauti kulingana na wanavyomfahamu sharo milionea kwa kazi zake alizokuwa akifanya kipindi cha  uhai wake na kunawasainii wengi walioguswa na msiba huo pia walihusika katika mazioshi munguailaze roho ya marehemu mahala pema peponi

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 maoni: